Ayubu 33:13-30 - 31-03-2023
Yesu ni mpatanishi./ Heri Buberwa.

MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 26 MACHI, 2023
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 19 MACHI, 2023
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
YESU NI CHAKULA CHA UZIMA
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 12/03/2023
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wakumtolea
kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.