February 2026
Marko 1:29-31 - 11-02-2026
Mathayo 10:5-15 - 10-02-2026
Mwanzo49:9-12 - 09-02-2026
Matangazo ya usharika tarehe 8 Febuari 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 08 FEBRUARI, 2026
SIKU YA BWANA YA 8 KABLA YA PASAKA
NENO LINALOTUONGOZA NI
NENO LA MUNGU LI HAI
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 01/02/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Luka 8:22-25 - 07-02-2026
Isaya 44:21-22 - 06-02-2026
Mathayo 20:1-16 - 05-02-2026
Warumi 7:12-29 - 04-02-2026
Mathayo 16:13-18 - 03-02-2026
Mithali 9:1-6 - 02-02-2026
Matangazo ya usharika tarehe 1 Febuari 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 01 FEBRUARI, 2026
SIKU YA BWANA YA MWISHO KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
NEEMA YA MUNGU YATOSHA
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 25/01/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
