March 2025
Siku ya Wanawake Duniani: Washarika Waaswa Kufanya Maombi Kushinda Majaribu
Siku ya Jumapili, Machi 9, 2025 ilifanyika ibada ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front. Ibada za aina hii hufanyika kila Jumapili ya kwanza ya mwezi Machi kila mwaka ili kutoa fursa kwa wanawake kuongoza matukio na huduma zote za ibada.
Marko 1:12-13 - 10-03-2025
Marko 14:32-42 - 08-03-2025
Isaya 1:18-20 - 05-03-2025
Waebrania 2:14-18 - 04-03-2025
Yohana 7:33-36 - 03-03-2025
AZF Newsletter #016; Oct 2024 - Jan 2025
You can get a copy of the latest AZF Newsletter #016 (Oct 2024 – Jan 2025), featuring stories and articles from October 2024 to January 2025.
Download your copy here: AZF Newsletter #016
Matangazo ya Usharika tarehe 2 Machi 2025
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 02 MACHI, 2025
SIKU YA BWANA YA 7 KABLA YA PASAKA
NENO LINALOTUONGOZA NI
YESU ANAYAENDEA MATESO YERUSALEMU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 23/02/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
