December 2024
Luka 21:29-33 - 11-12-2024
PICHA: Mkutano Mkuu wa 37 wa Dayosisi (DMP) - Kiharaka Spiritual Center
Hizi hapa ni baadhi ya picha za matukio tofauti tofauti kutoka kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) uliofanyika katika ukumbi wa Kiharaka Spiritual Center, Desemba 8, 2024 ukiongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Baba Askofu, Dkt. Alex Gehaz Malasusa.
Isaya 60:7-10 - 10-12-2024
Zekaria 9:14-17 - 09-12-2024
Matangazo ya Usharika tarehe 8 Disemba 2024
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 08 DECEMBA, 2024
SIKU YA BWANA YA PILI KATIKA MAJILIO (ADVENT)
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
UKOMBOZI WETU UMEKARIBIA
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 01/12/2024
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
1Wathesalonike 5:1-5 - 07-12-2024
Isaya 27:1-9 - 05-12-2024
Mathayo 24:42-44 - 04-12-2024
Ufunuo wa Yohana 3:1-16 - 02-12-2024
Matangazo ya Usharika tarehe 1 Disemba 2024
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 01 DECEMBA, 2024
SIKU YA BWANA YA KWANZA KATIKA MAJILIO (ADVENT)
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
BWANA ANALIJIA KANISA LAKE
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 24/11/2024
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
